TimesFMTZ
TimesFMTZ
  • Видео 3 349
  • Просмотров 50 884 317
MBUNGE BONNAH KAMOLI ACHARUKA BUNGENI "WANANCHI WAMEBOMOA NYUMBA ZAO SERIKALI HAIJAWALIPA" SGR...
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
Просмотров: 1

Видео

MTAALAMU AFAFANUA USICHOKIJUA KUHUSU KIKOKOTOO, MSIKILIZE
Просмотров 12522 часа назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
MANENO YA JOH MAKINI KIFO CHA DIRECTOR KHALFANI YANAUMA SANA; "ALIANGUKA, AKAPARALAIZI ."
Просмотров 33522 часа назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
GIGY APEWE MAUA YAKE / KAJALA,PAULA HAMNA KITU/ SAMAKI WA RICK ROSS KUITWA DRAKE / BIFU ZITO
Просмотров 2264 часа назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
BIBI MIAKA 60 ALIYESHINDA TAJI LA MISS UNIVERSE ASHANGAZA DUNIA
Просмотров 774 часа назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
SERIKALI YATOA TAMKO ZITO HALI YA KIMBUNGA HIDAYA/MSEMAJI AFUNGUKA MKOA HUU KUANZA
Просмотров 30 тыс.4 часа назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
PROFESSOR JAY NI KAMA NGWEAR TU/ NI MATAJIRI/ MAPRODUZA WAKALI NI TIMBALAND, DR DRE, S2KIZZY - DUNGA
Просмотров 8507 часов назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
MNYUKANO MKALI BUNGENI, SAKATA LA MKOPO KAUSHA DAMU/MKOPO WA SIMU/WAZIRI NAPE, MWIGULU WACHACHAMAA
Просмотров 4,5 тыс.9 часов назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
JAY MELODY, JOH MAKINI WAFIKIA PABAYA “TUTAKUTANA TU” / DIAMOND PLATNUMZ ATAJWA
Просмотров 1,3 тыс.9 часов назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
MITIKISIKO : WATU ACHENI KUINGILIA UGOMVI USIO WAHUSU
Просмотров 479 часов назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
UTAMUONEA HURUMA! JAY MELODY AELEZA A TO Z KILICHOMLIZA INSTAGRAM/MAPENZI/NGUMU KUFANYA KOLABO BONGO
Просмотров 3009 часов назад
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi. Follow us on twitter TimesFMTZ and on instagram timesfmtz#
HOTUBA NZITO YA MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO KWENYE SIKU YA MEI MOSI MBELE YA VIONGOZI WA KITAIFA/RAIS
Просмотров 6 тыс.9 часов назад
HOTUBA NZITO YA MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO KWENYE SIKU YA MEI MOSI MBELE YA VIONGOZI WA KITAIFA/RAIS
CHINO KAWAZIDI NINI MAKOMANDO?
Просмотров 1019 часов назад
CHINO KAWAZIDI NINI MAKOMANDO?
HOTUBA NZITO YA WAZIRI MKUU SIKU YA MEI MOSI MBELE YA VIONGOZI WA KITAIFA/AMTAJA MAKONDA
Просмотров 11 тыс.12 часов назад
HOTUBA NZITO YA WAZIRI MKUU SIKU YA MEI MOSI MBELE YA VIONGOZI WA KITAIFA/AMTAJA MAKONDA
MAKONDA AJILIPUA MBELE YA MAKAMU WA RAIS "HAPA NITAKOROGA MAMBO" ATUMA UJUMBE HUU....
Просмотров 9 тыс.12 часов назад
MAKONDA AJILIPUA MBELE YA MAKAMU WA RAIS "HAPA NITAKOROGA MAMBO" ATUMA UJUMBE HUU....
MWANA FA NI MKALI KULIKO NGWEAR/ PROFESSOR JAY ANAUMWA/ SUGU HAWEZI KUFANYA - JAY MOE
Просмотров 7 тыс.12 часов назад
MWANA FA NI MKALI KULIKO NGWEAR/ PROFESSOR JAY ANAUMWA/ SUGU HAWEZI KUFANYA - JAY MOE
DAKTARI AFICHUA SIRI! KUUMWA NA NYUKI KUNAONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KUMALIZA MAPEMA TENDO LA NDOA
Просмотров 30412 часов назад
DAKTARI AFICHUA SIRI! KUUMWA NA NYUKI KUNAONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KUMALIZA MAPEMA TENDO LA NDOA
KINACHOENDELEA KATI YA DIAMOND NA HARMONIZE NI KIZUNGUMKUTI, KAMA MBWAI MBWAI, MIAKA 15 WCB
Просмотров 18014 часов назад
KINACHOENDELEA KATI YA DIAMOND NA HARMONIZE NI KIZUNGUMKUTI, KAMA MBWAI MBWAI, MIAKA 15 WCB
MAKOMANDO WAFUNGUKA; "MAREHEMU RUGE ALISEMA HAPENDI MUZIKI WETU", WAMTAJA JOTI, YOUNG DEE
Просмотров 19614 часов назад
MAKOMANDO WAFUNGUKA; "MAREHEMU RUGE ALISEMA HAPENDI MUZIKI WETU", WAMTAJA JOTI, YOUNG DEE
MILLARD AYO AFUNGUKA KWA UCHUNGU BAADA YA KUMPOTEZA MPIGA PICHA WAKE..."NIMEUMIA SANA"
Просмотров 14914 часов назад
MILLARD AYO AFUNGUKA KWA UCHUNGU BAADA YA KUMPOTEZA MPIGA PICHA WAKE..."NIMEUMIA SANA"
DOTTO MAGARI AFUNGUKA KWA UCHUNGU MSIBA WA ZUCHY, AWACHANA WASANII WANAOCHAGUA MISIBA
Просмотров 12714 часов назад
DOTTO MAGARI AFUNGUKA KWA UCHUNGU MSIBA WA ZUCHY, AWACHANA WASANII WANAOCHAGUA MISIBA
NI HUZUNI! FAMILIA YA MAREHEMU ZUCH ZUCHERO IKIAGA MWILI WA MPENDWA WAO
Просмотров 91814 часов назад
NI HUZUNI! FAMILIA YA MAREHEMU ZUCH ZUCHERO IKIAGA MWILI WA MPENDWA WAO
VILIO, SIMANZI VYATAWALA WASANII WAKIUAGA MWILI WA MAREHEMU ZUCH ZUCHERO
Просмотров 17314 часов назад
VILIO, SIMANZI VYATAWALA WASANII WAKIUAGA MWILI WA MAREHEMU ZUCH ZUCHERO
HAJI MANARA ASHINDWA KUJIZUIA MSIBANI KWA ZUCH/AWALIZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI
Просмотров 2,5 тыс.14 часов назад
HAJI MANARA ASHINDWA KUJIZUIA MSIBANI KWA ZUCH/AWALIZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI
VILIO VYATAWALA MWILI UKIAGWA WA ZUCHY ZUCHERO/ WASANII, MAJIRANI WALIVYOBEBA JENEZA
Просмотров 35216 часов назад
VILIO VYATAWALA MWILI UKIAGWA WA ZUCHY ZUCHERO/ WASANII, MAJIRANI WALIVYOBEBA JENEZA
SUZY BALE ACHAFUKWA..NINA WATOTO WATATU BABA TOFAUTI, SIJASOMA, DM ANAISOMA MENEJA/ MTAKATWA MASHOKA
Просмотров 7019 часов назад
SUZY BALE ACHAFUKWA..NINA WATOTO WATATU BABA TOFAUTI, SIJASOMA, DM ANAISOMA MENEJA/ MTAKATWA MASHOKA
TAZAMA WADUDU WA CHUGA WALIVYOTIMBA KWA MBWEMBWE OFISI ZA RC MAKONDA
Просмотров 52319 часов назад
TAZAMA WADUDU WA CHUGA WALIVYOTIMBA KWA MBWEMBWE OFISI ZA RC MAKONDA
PRODUCER DUNGA AFUNGUKA UKUBWA WA AY/ ATAKA MAREHEMY NGWEAR KUTENGEWA SIKU YAKE DUNIANI
Просмотров 32519 часов назад
PRODUCER DUNGA AFUNGUKA UKUBWA WA AY/ ATAKA MAREHEMY NGWEAR KUTENGEWA SIKU YAKE DUNIANI
MANSULI AMMWAGIA SIFA SUGU NA AY/ WANA MCHANGO MKUBWA KWENYE MUZIKI WA BONGO.
Просмотров 20519 часов назад
MANSULI AMMWAGIA SIFA SUGU NA AY/ WANA MCHANGO MKUBWA KWENYE MUZIKI WA BONGO.
NI HATARI! LORD EYES AMCHANA VIBAYA WAKAZI/ HAJAFIKIA VIWANGO VYA KUPEWA HESHIMA YA BONGO FLEVA
Просмотров 7 тыс.19 часов назад
NI HATARI! LORD EYES AMCHANA VIBAYA WAKAZI/ HAJAFIKIA VIWANGO VYA KUPEWA HESHIMA YA BONGO FLEVA

Комментарии

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 3 часа назад

    #Mjomba nakukubari san

  • @madevaketajajr5041
    @madevaketajajr5041 4 часа назад

    Mc u king zizi

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 4 часа назад

    Kwani waongo nini muna nganganiya znz mbona zanzibar hawanganganii dar

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 4 часа назад

    Hongera kamanda

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 6 часов назад

    Watiu wanauwezo wa kupata Paspot sio kama zamani anawza kizamani

  • @RashidKhamis-hj5hz
    @RashidKhamis-hj5hz 12 часов назад

    Hana lolot ni muongo 2 sema imani yenu mshampelekea uyo mzee

  • @MsodokiTheson
    @MsodokiTheson 16 часов назад

    Mobenga

  • @annagerald
    @annagerald 19 часов назад

    👏

  • @joshuamoshi6155
    @joshuamoshi6155 19 часов назад

    Joseben kikokotoo ni mzigo kwa mfanya kazi

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 19 часов назад

    Watu awali ZANZIBAR walikua washirazi nyinyi wengine muliingia kama watumwa sio zaidi ya hapo. Sababu za msingi watu wa bara mulikua nyuma sana kwenye suala la uwezo wa kusafiri safari za kuvuuka maji.. mumeanza juzi tu.

  • @moketuponake5270
    @moketuponake5270 19 часов назад

    Mungu atusaidie jamani Tanzania tunalia mvua nyingi lakini huku Zimbabwe Mahindi yamekauka kwa kukosa mvua Mungu anajua kilichopo mbele yetu kwakweli

  • @PaschalPaul-hl1wl
    @PaschalPaul-hl1wl 20 часов назад

    😂 mtaalam

  • @osherjames1342
    @osherjames1342 20 часов назад

    Mwaisemba👏👏

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n 21 час назад

    Kwani hakuna wazanzibar walevi

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n 21 час назад

    Huyu anamaisha wabara ndio anaowasema watu wameja kwamana wanaoruhusiwa kuingia Zanzibar bila pasport ni watanganyika tu walundi wanyarwanda waganda wakenya Hawa wakitaka kuingia Zanzibar wanaingia Kwa pasport sasa yeye km anaowasema wabara ndio wamejaa usiwe kesi wao warudi kwao na watanganyika tuishi kwetu wao waseme tu halafu waone na viazi mvilingo kutoka huku kwetu marufuku wakachukue Kenya na wakenya nao viazi mvilingo pia vinatoka tz sijui watafanyaje watakua masheri Sheri wajalibu waone

  • @bernadodamiano1954
    @bernadodamiano1954 21 час назад

    Proffessor

  • @gloryzitatu9723
    @gloryzitatu9723 21 час назад

    aririiririri 😍❤️😍😍😍😍 ben kama ben

  • @NaomyThomas-nb2zr
    @NaomyThomas-nb2zr 21 час назад

    🎉👏👏👍

  • @diasalicastro5353
    @diasalicastro5353 22 часа назад

    Alikiba moe kazi jay moe crown ana kitu na anasaut ya mamlaka sanaaa

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 22 часа назад

    Zanzibar visiwa vidogo Sana haitoshi kuingia wengine

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 22 часа назад

    Mtaizamisha Zanzibar kwani bara haitoshi kuishi

  • @NaheemAshiraf
    @NaheemAshiraf 23 часа назад

    Noma jamaa

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 День назад

    Umuhim upo

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 День назад

    Sio gangi longa ,ligangalilonga

  • @nicholasonyango6217
    @nicholasonyango6217 День назад

    Ni mrembo

  • @HasaniBakari-yx5yg
    @HasaniBakari-yx5yg День назад

    Waziri yuko vizuri ameona mbali watu wanajua kuonea tu hawajui chochote

  • @HasaniBakari-yx5yg
    @HasaniBakari-yx5yg День назад

    Kuna mikopo huwezi jua unapata sh ngapi nakwa muda gani mtu umeshapata mkopo ndio unaambiwa unatakiwa urejeshe hela yote yote kwa wiki kweli huu ni unyonyaji na uwizi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 День назад

    Shida sio wamasai shida ni ccm leadership ukisema wamasai wewe kiwango chako Cha siasa bado kidogo huwezi changanya mkulima na mfugaji ktk eneo moja uwezo mdogo kukusanya ngombe za wamasai kuuza sio sulisho kwani mifugo Kila taifa ni muhimu na mashamba ni muhimu Sasa kosa ni watawala wetu kuchukua maeneo na kuwapa wageni na kutoa nafasi ndongo kwa ajili ya mashamba na wakulima ngombe wanaitaji Kula mwaka mzima kuongojea mvua eneyeeshw tena kuongeza viwango vya majani tanzania hatuna technology ya mvua ya umwagiliaji Sasa hiyo ccm na leadership ni haki ni sawa na kuwafanya watanzania watumwa ktk taifa lao

  • @ErickFabian-ju6tj
    @ErickFabian-ju6tj День назад

    Naomba kujiunga nahitaji nionyeshe kipaji changu

  • @JosephatPius-kx4vq
    @JosephatPius-kx4vq День назад

    Nimekubali

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 День назад

    Tutaenda na passport na wao waje na passport

  • @user-ss8iu3mx4q
    @user-ss8iu3mx4q День назад

    Kumbukeni kushaurr watu wamwombe mungu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 День назад

    KIMBUNGA Hidaya hilo ni Pepo au jini jike linalo tafuta kunywa damu,hivo hatuna budi kulikataa na kulikemea ktk Jina kuu la Yesu,kama kuna Walokole ktk Eneo hilo ombeni kwa kulikemea hilo jini jike litakimbia maana tumepewa Mamlaka juu ya nguvu zote za giza nyie mnafeli wapi😅😅😅

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 День назад

    Mungu Mwema Mbarikiwe Sana Mungu Ametusaidia Atatusaidia Zaidi Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai

  • @danielkanso
    @danielkanso День назад

    Amen Mungu ni mwema

  • @MkudeMloka
    @MkudeMloka День назад

    wakazi 😂😂

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 2 дня назад

    Msiogope Ndugu zangu, tunae Mungu Anae badilisha mambo, lakini tuyaonapo haya tusi jisahau maana hz ni dalili za kurudi kwa Bwana Yesu Kristo, kumbuka kila kilicho tabiliwa lazima kitimie, utake usitake

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 2 дня назад

    Nyinyi ni watanzania au watanganyika mbna munajitia uwehu wakati sisi wanzazibari tunajitambua na wazanzibari na sio watanzania asili yetu ni Zanzibar baadae kilichotuunganisha ni muungano tu

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 2 дня назад

    Jamaa kuna zile kama za faza nelly wa X plastaz

  • @masoudcarving5370
    @masoudcarving5370 2 дня назад

    China mifumo miwili honking na China ni nchi moja lakini serikali kuu ya China waliweka passport kwa ajili ya kuilinda Honkong

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 2 дня назад

    Pia bora tuwe majirani wema

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 2 дня назад

    Mm naona bora tuvunje muungano Zanzibar iwe na mamlaka yake na Tanganyika iwe na mamlaka yake

  • @ExevierBurian
    @ExevierBurian 2 дня назад

    Jamaa Yuko vzr

  • @LwidikoLwenge
    @LwidikoLwenge 2 дня назад

    Tunachezewa akili tu hapa tumetoka kwenye muuza madafu tumeamia kimbunga hidaya ivi hamuoni kbs 😅ni vituko juu ya vituko

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 2 дня назад

    Waziri wa fedha ana ubabaishaji katika maelezo Fanya research kabla hujaliendea suala.

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf 2 дня назад

    Jamani yesu atuokowe

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd 2 дня назад

    Niliandika mapema kuwa Tanzania haitapigwa na kimbunga hata siku moja! Vimbunga vina maeneo yake, sisi hatumo, pili mwenendo wake unakwenda kulia kwa upande wetu, matokeo yake kinazidi kwenda mashariki zaidi. Mashariki mwa pwani ya Msumbiji Kuna mkondo joto wa bahari, eneo la mgandamizo mdogo wa hewa. Hii husaidia kuvuta kimbunga kuelekea huko. Hivyo Ni vigumu kimbunga kufika pwani ya Tanzania. Kama una hoja ya kijiografia itoe!

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu3905 2 дня назад

    Mbona Vimbunga hupewa majina ya kike?

    • @africayetutv329
      @africayetutv329 День назад

      Mimi mwenyewe niliuza hili swali ila watu waliishiria kucheka

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 День назад

      @@africayetutv329 Udhaifu wetu huo...mtu anakucheka na hakupi jibu.

  • @KashumbaMshanzi
    @KashumbaMshanzi 2 дня назад

    Nijombo laaibu unakopa raki majo riba arufu ishirini nanbiri kwa mwezi kupe ni bot

  • @martinajoel3666
    @martinajoel3666 2 дня назад

    Niombi langu kwa watanzania wote kila mtu amrejee Mungu kwa ukamilifu.